0
Ronaldinho: Aiachia Ngoma Yake ya Kwanza ya 'Sozinho' ikiwa ni miongoni mwa ahadi zake.Ronaldinho:
Mchezaji nguli wa soka aliewahi kukinukisha timu kadhaa kama Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, hapa namzungumzia Ronaldinho gaucho aliestaafu kukipiga timu ya taifa mnamo2015.

Kama alivyokawaida yetu Bongoswaggz tayari imetufikia ngomaya kwanza kwa mchezaji huyo aliamua kuigeukia sanaa ya mziki na kuachia nyimbo iliyopewa jina  la 'Sozinho'ngoma yenye mahaddi ya kibrazil. Karibu kuisikiliza hapa


Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Post a Comment

 
Top